Riyad Mahrez (kushoto) akifumua shuti kumtungua kipa Fraser Forster kuifungia bao la kwanza Leicester City dakika ya 11 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa jana Uwanja wa St. Mary's mjini Southampton, Hampshire. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki mawili dakika za 32 na 69 na Andy King dakika ya 38, wakati la Southampton lilifungwa na Maya Yoshida dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane has a 'DINOSAUR mentality', blasts West Ham striker Michail
Antonio - after Man United legend made thinly-veiled dig at him for
podcasting and 'having a laugh' after defeats
-
Michail Antonio has hit out at Roy Keane's 'dinosaur mentality' after the
Manchester United legend criticised players who host podcasts.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment