Ademola Lookman akishangilia na chipukizi wenzake, Fraser Hornby (kushoto) na Harry Charsley baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 28 katika ushindi wa 3-0 wa Everton dhidi ya wenyeji, Apollon kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia, Cyprus. Bao lingine la Everton ambayo ilikwenda kwenye mechi hiyo bila kocha wake mpya, Sam Allardyce lilifungwa na Nicola Vlasic dakika ya 87, lakini pamoja na ushindi huo safari yao inaishia hapo baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwa pionti zao nne nyuma ya Atalanta iliyomaliza kileleni klwa pointi zake 14 na Olympique Lyonnais pointi 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bill Belichick Plans to Write Book on Unknown Topic After Patriots
Exit
-
Bill Belichick wasn't known for being a wizard with words in front of a
microphone, but he may have been storing it all up to get out in written
form now t...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment