Nahodha wa Liverpool katika mchezo wa jana, Philippe Coutinho akishangilia baada ya kufunga matatu dakika za nne kwa penalti, 15 na 50 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Spartak Moscow usiku wa jana Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya 18, Sadio Mane dakika ya 47 na 76 na Mohamed Salah dakika ya 86 na kwa matokeo hayo Liverpool inamaliza na pointi 12 kileleni mwa Kundi E na kufuzu hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa ikiungana na Sevilla yenye pointi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment