Willian (kushoto) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 43 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa The John Smith's West Yorkshire. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Tiemoue Bakayoko dakika ya 23 na Pedro dakika ya 50, wakati la Huddersfield Town lilifungwa na Laurent Depoitre dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Larry Lloyd dead at 75: Nottingham Forest pay tribute to former England and
Liverpool defender who won two European Cups under Brian Clough
-
Former Liverpool and Nottingham Forest star Larry Lloyd, who won two
European Cups under Brian Clough, died on Thursday aged 75.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment