Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akiugulia maumivu huku akienda chini baada ya kugongana na beki wa Atletico Madrid, Lucas usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 1-1. Saul Niguez dakika ya 56 kabla ya Stefan Savic kujifunga kuipatia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 75 na kuiwezesha kumaliza nafasi ya pili kwenye kundi hilo kwa kukufikisha pointi 11, hivyo kuungana na vinara Roma kwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment