Gareth Bale akishangilia baada ya kufungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 81 ikiichapa 2-1 Al-Jazira katika mchezo wa Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA leo Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu. Romarinho alianza kuifungia Al-Jazira dakika ya 41, kabla ya Cristiano Ronaldo kuisawazishia Real dakika ya 53. Real sasa itakutana na Gremio ya Brazil katika fainali Desemba 16, mwaka huu Uwanja wa Zayed Sports City mjini Abu Dhabi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reggie Bush is REINSTATED as 2005 Heisman Trophy winner, with organizers
citing NIL rule changes two decades after he accepted money and gifts at USC
-
Reggie Bush was reinstated as the 2005 Heisman Trophy winner on Wednesday,
as the award's organizers cited fundamental changes in the structure of
college ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment