• HABARI MPYA

    Monday, December 11, 2017

    ARSENAL YAPELEKWA SWEDEN 32 BORA EUROPA LEAGUE

    TIMU ya Arsenal itamenyana na Ostersunds ya Sweden inayomilikiwa na Muingereza, Graham Potter katika hatua ya 32 ya Europa League.
    Atletico Madrid imepangwa na Copenhagen wakati Borussia Dortmund itamenyana na Atalanta, iliyoifunga Everton nyumbani na ugenini na kuongoza Kundi E.
    Celtic itakuwa na safari ndefu hadi Urusi baada ya kikosi cha Brendan Rodgers kupangiwa Zenit St Petersburg ya Roberto Mancini.

    Arsenal itamenyana na Ostersunds ya Sweden inayomilikiwa na Muingereza, Graham Potter katika hatua ya 32 ya Europa League PICHA ZAIDI GONGA HAPA  

    Nayo Lyon, wenyeji wa fainali itakayopigwa Mei 16 mwakani, watamenyana na Villarreal na mchezo mwingine utazikutanisha Leipzig na Napoli.
    Kocha Gennaro Gattuso wa AC Milan amepewa Ludugorets ya Bulgaria. 
    Mechi za kwanza zitachezewa Februari 15 na marudiano yatakuwa Februari 22, mwaka 2018. 

    RATIBA 32 BORA EUROPA LEAGUE 

    Borussia Dortmund vs Atalanta
    Nice vs Lokomotiv Moscow
    Copenhagen vs Atletico Madrid
    Spartak Moscow vs Athletic Bilbao
    AEK Athens vs Dynamo Kiev
    Celtic vs Zenit St Petersburg
    Napoli vs Leipzig
    Red Star Belgrade vs CSKA Moscow
    Lyon vs Villarreal
    Real Sociedad vs Salzbug
    Partizan Belgrade vs Viktoria Plzen
    Steaua Bucharest vs Lazio
    Ludogorets vs AC Milan
    Astana vs Sporting Lisbon
    Ostersunds vs Arsenal
    Marseille vs Braga 
     
    Mechi za kwanza zitachezwa Februari 15 na marudiano yatakuwa Februari 22 mwaka 2018 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAPELEKWA SWEDEN 32 BORA EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top