Olivier Giroud akipongezwa baada ya kuifungia Arsenal bao la tano dakika ya 64 kwa penalti katika ushindi wa 6-0 dhidi ya BATE Borisov kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine yalifungwa na Mathieu Debuchy dakika ya 11, Theo Walcott dakika ya 37, Jack Wilshere dakika ya 43, Dzyanis Palyakow aliyejifunga dakika ya 51 na Mohamed Elneny dakika ya 74. Arsenal inamaliza kileleni mwa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Crvena Zvezda pointi tisa wakati FC Cologne ya Ujerumani imemaliza na pointi sita nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Liverpool star Fernando Torres mourns the death of his father as he
is flooded with messages of support from his former team-mates
-
Fernando Torres has been flooded with messages of support after announcing
that his father, Jose, has died in a post on social media.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment