Kipa Mcameroon wa Yanga, Youthe Rostand akiokoa kwa ustadi wa hali ya juu wakati wa mazoezi ya leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City Jumapili
Beki Hassan Kessy akivuta kasi kuuwahi mpira
Daktari wa timu, Edward Bavu (katikati) akizungumza na wachezaji
Kocha Msaidizi wa kwanza, Mzambia Noel Mwandila akizungumza na wachezaji
Wachezaji wakikimbia Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam leo
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment