• HABARI MPYA

    Tuesday, November 14, 2017

    WELBECK AREJEA MAZOEZINI ARSENAL IKIJIANDAA KUIVAA SPURS

    Nyota wa Arsenal, Danny Welbeck akiwa mazoezini na klabu yake leo viwanja vya Colney, London baada ya kurejea kufuatia kupona maumivu ya nyama za paja aliyoyapata mwezi uliopita katika mchezo dhidi ya Watford. Arsenal itamenyana na Tottenham Hotspur Jumamosi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WELBECK AREJEA MAZOEZINI ARSENAL IKIJIANDAA KUIVAA SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top