Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia kibabe baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 28 na 60 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Leganes kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Butarque, Leganes leo. Bao la tatu lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment