• HABARI MPYA

    Sunday, November 12, 2017

    SIMBA SC ILIVYOTEMBEZA KICHAPO JANA SUMBAWANGA

    Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima (kushoto) akimtoka beki wa Kaengesa FC katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga. Simba ilishinda 3-2 
    Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim akimtoka mchezaji wa Kaengesa FC
    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akisalimiana na wachezaji wa Simba haba kabla ya mechi
    Mashabiki wakifuatilia mchezo huo jana Uwanja wa Mandela
    Kikosi cha Kaengesa jana Uwanja wa Mandela 
    Kikosi cha Simba jana Uwanja wa Mandela
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOTEMBEZA KICHAPO JANA SUMBAWANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top