Jefferson Farfan akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Peru dakika ya 28 Uwanja wa Taifa mjini Lima katika ushindi wa 2-0 dhidi ya New Zealand kwenye mchezo wa marudiano wa mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa Amerika Kusini. Bao la pili lilifungwa na Christian Ramos na sasa Peru inakamilisha idadi ya timu 32 zitakazoshiriki Kombe la Dunia mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kevin De Bruyne is 'better than Gerrard, Lampard, Silva and Toure' and is
No 1 midfielder in Premier League history, claims Jamie Redknapp after
Belgian's ridiculous header from 15 yards
-
Sky Sports pundit Jamie Redknapp believes Kevin De Bruyne's ability to
produce things that are 'out of this world' elevates him to be the best
midfielder i...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment