• HABARI MPYA

    Thursday, November 16, 2017

    NYOTA MAN UNITED WALIVYONOGA KWENYE SHUGHULI YA UNICEF

    Nyota wa Manchester United wakiwa kwenye hafla maalum ya hisani iliyoandaliwa na klabu yao ukumbi wa Old Trafford kwa ajili ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) usiku wa jana. Baadhi ya wachezaji walijumuika na wake na wapenzi wao PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA MAN UNITED WALIVYONOGA KWENYE SHUGHULI YA UNICEF Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top