Kiungo Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 49 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Kings Power. Bao la kwanza katika ushindi huo wa 10 mfululizo wa Man City Ligi Kuu limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB Rumors: Blake Snell, Giants Agree to 2-Year, $62M Contract amid Astros
Buzz
-
The San Francisco Giants snagged the best starting pitcher still on the
market, agreeing to terms with Blake Snell on a two-year, $62 million
contract,…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment