Mshambuliaji Romelu Lukaku akirukiwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia Manchester United bao la nne dakika ya 70 ikiwalaza 4-1 Newcastle United leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Anthony Martial dakika ya 37, Chris Smalling dakika ya 45 na Paul Pogba dakika ya 54, wakati bao pekee la Newcastle limefungwa na Dwight Gayle dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The night Nottingham Forest were REALLY robbed by a dodgy ref! 40 years on,
the incredible tale of the official who took a bribe
-
MATT BARLOW: Perhaps someone at Nottingham Forest had this looming
anniversary in mind when the Midlands club started peddling conspiracy
theories like Don...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment