Mshambuliaji Romelu Lukaku akirukiwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia Manchester United bao la nne dakika ya 70 ikiwalaza 4-1 Newcastle United leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Anthony Martial dakika ya 37, Chris Smalling dakika ya 45 na Paul Pogba dakika ya 54, wakati bao pekee la Newcastle limefungwa na Dwight Gayle dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dodgers Star Shohei Ohtani's Signature Logo for New Balance Revealed in
Video
-
Los Angeles Dodgers superstar Shohei Ohtani's official logo with New
Balance was announced in a video on Monday. The video was posted on X by
the MLB's…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment