Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 23 na 62 jana katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns, West Bromwich. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
College Athletes Can Play During Sexual Misconduct Inquiries Under Title IX
Revision
-
Colleges cannot discipline student-athletes accused of sexual misconduct
until an investigation into the allegations is complete, according to a
Title IX…
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment