Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 23 na 62 jana katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns, West Bromwich. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment