Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara (kushoto) ameposti picha hii kwenye ukurasa wake instagram kiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Muslah 'Musley' Al-Ruwaih (kulia) kwenye Rasi ya Pwani ya Jijii la Muscat, Oman
Hajji Manara pia ameposti picha hii akiwa na familia ya mfadhili wa zamani wa Simba, Shekh Saleh Al-Rawaih, wanawe, Munir, Muthir, Musley, Munir na Murshid
Hapa ni wakati Hajji aliupokuwa kwenye ndege anakwenda Oman
Hapa ni wakati akiwa safarini amevaa nyeusi tupu kasoro begi
Messe, Konzerte und Fußball: Frühzeitig anreisen zum Leverkusen-Spiel
-
Am Sonntag trifft Borussia Dortmund im SIGNAL IDUNA PARK auf Bayer
Leverkusen (Anstoß 17:30 Uhr). Aufgrund mehrerer Veranstaltungen in den
Westfalenhallen ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment