Kocha Mspaniola wa Manchester City, Pep Guardiola akiwa ameshika tuzo yake ya Kocha wa Mwezi wa Oktoba Ligi Kuu ya England, ambayo anashinda kwa mara ya pili mfululizo baada ya kushinda pia na Septemba. Amesherehekea tuzo huyo kwa pamoja na Wasaidizi wake kama ilivyo ada yake. Kutoka kushoto ni Rodolfo Borrell (Msaidizi), Sam Erith (Mkuu wa Idara ya Viwango), Xabi Mancisidor (Kocha wa makipa), Lorenzo Buenaventura (Kocha wa Mazoezi ya utimamu wa mwili), Pep Guardiola, Domenec Torrent (Kocha Msaidizi), Mikel Arteta (Kocha Msaidizi), Brian Kidd (Kocha Msaidizi) na Carles Planchart (Kocha Msaidizi) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton learn date of hearing for second breach of Premier League spending
rules as commission faces race against time to meet deadline... with the
Toffees resigned to ANOTHER points deduction
-
EXCLUSIVE BY MATT HUGHES: The Premier League have committed to announcing a
verdict on Everton's second charge of breaking Profit and Sustainability
Rules ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment