Kocha Mspaniola wa Manchester City, Pep Guardiola akiwa ameshika tuzo yake ya Kocha wa Mwezi wa Oktoba Ligi Kuu ya England, ambayo anashinda kwa mara ya pili mfululizo baada ya kushinda pia na Septemba. Amesherehekea tuzo huyo kwa pamoja na Wasaidizi wake kama ilivyo ada yake. Kutoka kushoto ni Rodolfo Borrell (Msaidizi), Sam Erith (Mkuu wa Idara ya Viwango), Xabi Mancisidor (Kocha wa makipa), Lorenzo Buenaventura (Kocha wa Mazoezi ya utimamu wa mwili), Pep Guardiola, Domenec Torrent (Kocha Msaidizi), Mikel Arteta (Kocha Msaidizi), Brian Kidd (Kocha Msaidizi) na Carles Planchart (Kocha Msaidizi) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE make shock decision to RELEASE former world champion - who argues he
QUIT and wasn't let go - as three superstars suddenly part ways with the
company
-
It came as AJ Styles defeated LA Knight in a No 1 contenders match, with
the former besting his opponent with a thumb to the eye and a Phenomenal
Forearm.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment