• HABARI MPYA

    Friday, November 17, 2017

    GUARDIOLA AENDELEA KUWABURUZA MAKOCHA LIGI KUU ENGLAND

    Kocha Mspaniola wa Manchester City, Pep Guardiola akiwa ameshika tuzo yake ya Kocha wa Mwezi wa Oktoba Ligi Kuu ya England, ambayo anashinda kwa mara ya pili mfululizo baada ya kushinda pia na Septemba. Amesherehekea tuzo huyo kwa pamoja na Wasaidizi wake kama ilivyo ada yake. Kutoka kushoto ni Rodolfo Borrell (Msaidizi), Sam Erith (Mkuu wa Idara ya Viwango), Xabi Mancisidor (Kocha wa  makipa), Lorenzo Buenaventura (Kocha wa Mazoezi ya utimamu wa mwili), Pep Guardiola, Domenec Torrent (Kocha Msaidizi), Mikel Arteta (Kocha Msaidizi), Brian Kidd (Kocha Msaidizi) na Carles Planchart (Kocha Msaidizi) PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GUARDIOLA AENDELEA KUWABURUZA MAKOCHA LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top