Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 38 na 79 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nantes jana kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princess mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria dakika ya 42 na Javier Pastore dakika ya 65, wakati la Nantes lilifungwa na Prejuce Niguimbe Nakoulma dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment