Kiungo wa Azam FC, Mghana Enock Atta Agyei akianguka baada ya kukwatuliwa na beki wa Njombe Mji FC na kusababisha penalti ambayo Aggrey Morris aliifungia bao pekee la ushindi timu ikiwalaza 1-0 wenyeji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Saba Saba jana
Kiungo wa Azam FC, Salmin Hoza (kushoto) akinyoosha mguu kuunasa mpira dhidi ya mchezaji wa Njombe Mji
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akimiliki mpira pembeni ya mchezaji wa Njombe Mji FC
Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yusuph (kulia) akiwatoka wachezaji wa Njombe Mji FC
Bruce Kangwa wa Azam FC (kushoto) akikimbilia mpira dhidi ya mchezaji wa Njombe Mji
Kikosi cha Azam FC katika mchezo wa jana
Liverpool open talks with Feyenoord after identifying Arne Slot as the
ideal candidate to succeed Jurgen Klopp... as Reds face £8.5m compensation
fee to land the Dutchman
-
Slot, who was considered by both Tottenham and Chelsea last summer, has
found success since joining the Dutch side in 2021 and has become one of
the most p...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment