Kiungo wa Azam FC, Mghana Enock Atta Agyei akianguka baada ya kukwatuliwa na beki wa Njombe Mji FC na kusababisha penalti ambayo Aggrey Morris aliifungia bao pekee la ushindi timu ikiwalaza 1-0 wenyeji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Saba Saba jana
Kiungo wa Azam FC, Salmin Hoza (kushoto) akinyoosha mguu kuunasa mpira dhidi ya mchezaji wa Njombe Mji
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akimiliki mpira pembeni ya mchezaji wa Njombe Mji FC
Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yusuph (kulia) akiwatoka wachezaji wa Njombe Mji FC
Bruce Kangwa wa Azam FC (kushoto) akikimbilia mpira dhidi ya mchezaji wa Njombe Mji
Kikosi cha Azam FC katika mchezo wa jana
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment