Kipa wa Simba, Aishi Manula akiwa chini kujaribu kuokoa katika mazoezini ya timu hiyo leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Njombe Mji FC Jumamosi
Kiungo Haruna Niyonzima (kushoto) akimpita beki mazoezini leo
Mshambuliaji Laudit Mavugo (kushoto) akiwa mazoezini leo
Kiungo Said Ndemla (kushoto) akiondoka na mpira
Kocha Mcameroon, Joseph Marius Omog (kushoto) akiongoza mazoezi leo
Care to play for the Barbarians at Twickenham
-
Former England scrum-half Danny Care will make his Barbarians debut against
Fiji at Twickenham in June.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment