Mshambuliaji Wayne Rooney akipiga penalti kuifungia bao la kusawazisha Everton dakika ya 90 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika Uwanja wa The American Express Community mjini Falmer, East Sussex. Bao la Brighton lilifungwa na Anthony Knockaert dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Test your knowledge on our history in the Emirates FA Cup last four, ahead
of Sunday’s Wembley outing.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment