Laurent Depoitre akipiga mpira kuifungia bao la pili Huddersfield dakika ya 33 baada ya kumzunguka kipa wa Manchester United, David De Gea Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Huddersfield imeshinda 2-1, bao la kwanza likifungwa na Aaron Mooy dakika ya 28, wakati la Man United limefungwa na Marcus Rashford dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sue Bird joins Seattle Storm ownership group after starring for WNBA team
for 21 years
-
Storm owners, Force 10 Hoops, said that the 43-year-old, 13-time All-Star
joined the ownership group despite no financial details about the
transaction bei...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment