Gabriel Jesus akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 13 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Napoli ya Italia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Raheem Sterling alianza kuwafungia Man City dakika ya nane wakati Amadou Diawara aliifungia Napoli dakika ya 71 baada ya Fernandinho kumuangusha Faouzi Ghoulam kwenye boksi. Ederson aliokoa penalti ya Dries Mertens baada ya Kyle Walker kumshika Raul Albiol kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Tedesco under fire with footy fans after blatant trip on Melbourne
Storm fullback Ryan Papenhuyzen - as Roosters star is hit with a feather by
NRL judiciary
-
Roosters star James Tedesco has learnt his fate after appearing to trip
Melbourne Storm fullback Ryan Papenhuyzen on Thursday night at Allianz
Stadium - an...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment