Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la kusawazisha na la kwanza kwake msimu huu dakika ya 80 katika sare ya 1-1 na West Brom kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power mjini Leicester, Leicestershire kufuatia wageni kutangulia kwa bao la Nacer Chadli dakia ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Penix Jr. to Visit Raiders, Broncos, More Before NFL Draft amid
Giants Rumors
-
Washington quarterback Michael Penix Jr. will reportedly meet with a
handful of NFL teams following his pro day on Thursday. Per ESPN's Brady
Henderson, Pe...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment