Mwanasoka bora wa zamani wa dunia, Ricardo Izecson dos Santos 'Kaka' akibubujikwa machozi jana kabla ya mchezo wa mwisho kuichezea timu yake, Orlando City ikifungwa 1-0 na Columbus Crew katika Ligi ya Marekani, maarufu kama MLS Uwanja wa Orlando City mjini Orlando, Florida. Kaka anaondoka Orlando baada ya kuifungia mabao 24 katika mechi 73 tangu mwaka 2014 alipojiunga nayo akitokea AC Milan, baada ya kuzichezea Sao Paulo ya kwao, Brazil na Real Madrid ya Hispania, lakini hajasema kama anastaafu moja kwa moja au atakwenda kuendelea kucheza sehemu nyingine PICHA ZAIDI GONGA HAPA
March Madness: UConn becomes the first reigning national champions to reach
the Elite Eight since 2007 after beating San Diego State... as Clemson
spoils Arizona's homecoming hopes
-
The Connecticut Huskies extended their streak of double-digit victories in
March Madness to nine in a row with a victory over San Diego State in a
rematch ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment