Mario Mandzukic akifuatwa na Paulo Dybala kupongezwa baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 84 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting CP kwenye mchezo wa Kundi D Ligi y Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao lingine la Juve lilifungwa na Miralem Pjanic dakika ya 29, kufuatia Alex Sandro kujifunga dakika ya 12 kuwapatia Sporting bao la kuongoza mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment