Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika ya 71 na 90 na ushei katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 12 na Cesar Azpilicueta dakika ya 87, wakati ya Watford yamefungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 45 na ushei na Roberto Pereyra dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man who fatally shot ex-Saints star Will Smith after 2016 car crash gets 25
years in jail
-
Cardell Hayes, 36, was convicted of manslaughter in Dec. 2016 but the jury
vote had been 10-2 and the conviction was later tossed after the US Supreme
Cour...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment