Jupp Heynckes mwenye umri wa miaka 72 jana akiiongoza kwa mara ya kwanza Bayern Munich baada ya kurejea kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti aliyeondolewa ikishinda 5-0 dhidi ya Freiburg katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena. Mabao yalifungwa na Kingsley Coman, Thiago, Robert Lewandowski, Joshua Kimmich la kujifunga la Julian Schuster PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Posts Video Shadowboxing with Shannon Briggs in NY Before Jake
Paul Fight
-
Mike Tyson is hard at work preparing for his upcoming bout with Jake Paul.
The former heavyweight champ posted a video of himself shadowboxing with
Shannon…
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment