Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester City kwa penalti dakika ya 30 baada ya Nick Pope kumchezea rafu Bernardo Silva wakiichapa 3-0 Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Hilo ni bao la 177 kwa Aguero Man City, maana yake ameifikia rekodi ya Eric Brook aliyoweka miaka ya 1930. Mabao mengine ya City yamefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 73 na Leroy Sane dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Brady Posts Training Video After Comments on Possibly Ending NFL
Retirement
-
After previously keeping the door open on a potential comeback, Tom Brady
is posting videos of himself training. In a four-second video on his
Instagram,…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment