• HABARI MPYA

    Saturday, September 09, 2017

    WELBECK AFUNGA MAWILI, ARSENAL YAZINDUKA YASHINDA 3-0

    Mshambuliaji Danny Welbeck akiruka kuifungia kwa kichwa Arsenal bao la kwanza dakika ya sita kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 50 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la pili dakika ya 27 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WELBECK AFUNGA MAWILI, ARSENAL YAZINDUKA YASHINDA 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top