Gwiji wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy akishangiulia na Danny Webber baada ya wote kufunga katika sare ya 2-2 na Magwiji wa Barcelona jana Uwanja wa Old Trafford kabla ya wenyeji kushinda kwa penalti 5-3. Mabao ya Barca yalifungwa na Luis Garcia na Gaizka Mendieta. Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo Juni mwaka huu Uwanja wa Nou Camp Manchester United ilifungwa 3-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in after NFL hopeful AJ Simon tragically dies aged 25... as
fellow draft prospect Jared Verse reveals he spoke to late former teammate
shortly before passing: 'Rest easy big man!'
-
More tributes honoring late NFL Draft prospect Amitral 'AJ' Simon have
poured out on social media on Thursday.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment