Beki wa Botswana, Simisani Mathumo (kushoto) akipambana na beki wa Tanzania, Erasto Nyoni kuwania mpira wa juu katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Taifa Stars iliwachapa The Zebras 2-0
Mfungaji wa mabao yote mawili ya Taifa Stars, Simon Msuva (kushoto) akipambana na beki wa Zebras, Lopang Mosige
Simon Msuva akipatiwa matibabu kipindi cha kwanza
Kiungo Raphael Daudi wa Tanzania akiwatoka wachezaji wa Botswana jana
Kiungo wa Tanzania, Himid Mao (kulia) akimiliki mpira
Mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguri akiwatoka mabeki wa Botswana
Wachezaji wa Botswana wakimdhibiti mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta
Beki wa Botswana, Edwin Olerile akimiliki mpira mbele ya winga wa Tanzania, Shiza Kichuya
Kikosi cha Tanzania katika mchezo wa jana
Kikosi cha Botswana katika mchezo wa jana
U17 will Einzug ins Halbfinale um die Deutsche Meisterschaft absichern
-
Während Borussias U17 Sonntag im Gastspiel bei Borussia Mönchengladbach (11
Uhr) auch die letzten theoretischen Zweifel am Einzug ins Halbfinale um die
Deu...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment