Mshambuliaji wa Mtanzania wa KRC Genk, Mbwana Ally Samatta akimiliki mpira mbele ya beki wa na AA Gent katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A, Ubelgiji jana Uwanja wa Ghelamco-Arena mjini Gent timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mbwana Samatta akipambana na mchezaji wa AA Gent jana Uwanja wa Ghelamco-Arena
Mbwana Samatta akipambana na mchezaji wa AA Gent jana Uwanja wa Ghelamco-Arena
Mbwana Samatta akimtoka beki wa AA Gent jana Uwanja wa Ghelamco-Arena
Mbwana Samatta akishirikiana na mwenzake kumtoa mchezaji wa AA Gent jana
Mbwana Samatta akishangilia na wenzake jana baada ya kusawazisha bao dakika za mwishoni kupata sare ya 1-1 ugenini
Teenager Littler wins first Premier League Darts night
-
Teenager Luke Littler wins his first Premier League Darts night with a 6-4
win over Nathan Aspinall in Belfast.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment