Wayne Rooney akiwafokea wachezaji wenzake, baada ya timu yao, Everton kufungwa bao la tatu kabla ya mapumziko katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi E Ligi ya Ulaya jana Uwanja wa MAPEI mjini Citta del Tricolore, Reggio nell'Emilia wakilala 3-0 ugenini Italia. Mabao ya Atalanta yamefungwa na Andrea Masiello dakika ya 27, Alejandro Gomez dakika ya 41 na Bryan Castante dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Warner is DROPPED by IPL team as Ricky Ponting makes brutal call to
cut Australian veteran amid woeful run of form
-
A day after Marcus Stoinis belted an IPL century to bolster his World Cup
credentials veteran opener David Warner was dropped by his team amid
flagging ret...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment