• HABARI MPYA

    Monday, September 04, 2017

    RONALDO ASETI BAO PEKEE UGENINI, URENO YASHINDA 1-0

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuseti bao pekee la ushindi la Ureno ugenini lililofungwa na Andre Silva dakika ya 48 katika mchezo wa Kundi kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya wenyeji, Hungary mjini Budapest. Hungary ilimaliza pungufu baada ya Tamas Priskin kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 30 kwa kumchezea rafu Pepe wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO ASETI BAO PEKEE UGENINI, URENO YASHINDA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top