Cristiano Ronaldo akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 12 na 51 kwa penalti usiku wa jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Bernabeu. Bao lingine la Real lilifungwa na Sergio Ramos dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
VVK für das Auswärtsspiel in Paris startet am Donnerstag
-
Für das Champions-League-Auswärtsspiel gegen Paris Saint-Germain (Di.,
07.05., 21 Uhr) beginnt der Vorverkauf am Donnerstag, den 25.04., um 12
Uhr. Vereins...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment