• HABARI MPYA

    Sunday, September 17, 2017

    RIFFAT SAID ENZI ZAKE ALIKUWA KIPA WA KUAMINIKA

    Kipa wa kimataifa wa Tanzania, Riffat Said (sasa marehemu) akiwa mazoezini na timu ya taifa ya Zanzibar Uwanja wa Mao Dze Tung mwaka 1995 kujiandaa na michuano ya Kombe la Challenge iliyofanyika Uganda na Zanzibar Heroes kufanikiwa kutwaa taji pekee la michuano hiyo ikiwafunga wenyeji, The Cranes katika fainali 1-0 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RIFFAT SAID ENZI ZAKE ALIKUWA KIPA WA KUAMINIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top