Kipa wa kimataifa wa Tanzania, Riffat Said (sasa marehemu) akiwa mazoezini na timu ya taifa ya Zanzibar Uwanja wa Mao Dze Tung mwaka 1995 kujiandaa na michuano ya Kombe la Challenge iliyofanyika Uganda na Zanzibar Heroes kufanikiwa kutwaa taji pekee la michuano hiyo ikiwafunga wenyeji, The Cranes katika fainali 1-0
Michael Penix Jr. to Visit Raiders, Broncos, More Before NFL Draft amid
Giants Rumors
-
Washington quarterback Michael Penix Jr. will reportedly meet with a
handful of NFL teams following his pro day on Thursday. Per ESPN's Brady
Henderson, Pe...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment