Davy Propper akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za saba na 80 jana Uwanja wa Amsterdam ArenA katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bulgaria kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, wakati la Bulgaria limefungwa na Georgi Kostadinov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment