Alvaro Morata (kulia) na N'Golo Kante (kushoto) wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Morata alifunga dakika ya 41 na Kante dakika ya 50, wakati bao la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Young Gun: Michal Rosiak
-
We catch up with a member of our academy, Michal Rosiak, who discusses his
football journey and more
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment