• HABARI MPYA

    Saturday, September 09, 2017

    MORATA, KANTE WAFUNGA CHELSEA YAIPIGA 2-1 LEICESTER CITY

    Alvaro Morata (kulia) na N'Golo Kante (kushoto) wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Morata alifunga dakika ya 41 na Kante dakika ya 50, wakati bao la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MORATA, KANTE WAFUNGA CHELSEA YAIPIGA 2-1 LEICESTER CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top