Gwiji wa Argentina, mshambuliaji Lionel Messi akiifungia bao la kwanza kati ya matatu Barcelona jana Uwanja wa Camp Nou ikiichapa Espanyol 5-0 katika mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 25, 36 na 66 kufikisha hat trick 38 Barcelona, wakati mabao mengine yalifungwa na Gerard Pique dakika ya 84 na Luis Suarez dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
10-try Saints atone for cup loss by thrashing Hull
-
St Helens make up for their Challenge Cup quarter-final exit as they run
away with a Super League win against Hull FC.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment