Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia baada ya kufanikiwa kumfunga kwa mara ya kwanza kipa mgumu kufungika wa Juventus, Gianluigi Buffon jana Uwanja wa Camp Nou mjini Barcelona katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya, Barca ilishinda 3-0 na Messi alifunga mabao mawili dakika ya 45 na 69 wakati la pili lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment