Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa (kulia) akimtoka beki wa Maji Maji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Maji Maji mjini Songea timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Hajib (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Maji Maji jana
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji
Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya akimpita beki wa Maji Maji jana
Kikosi cha Maji Maji katika mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana
Fernandez to miss rest of season after operation
-
Chelsea midfielder Enzo Fernandez will miss the rest of the season after
undergoing successful surgery on a groin issue.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment