• HABARI MPYA

    Thursday, September 14, 2017

    KANE APIGA MBILI, SPURS YAIKANDAMIZA 3-1 BORUSSIA DORTMUND

    Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 15 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Son Heung-min dakika ya nne, wakati la wageni lilifungwa na Andriy Yarmolenko dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE APIGA MBILI, SPURS YAIKANDAMIZA 3-1 BORUSSIA DORTMUND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top