Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 15 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Son Heung-min dakika ya nne, wakati la wageni lilifungwa na Andriy Yarmolenko dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Andy Cole became a Premier League Hall of Famer
-
In the week that Andy Cole entered the Premier League Hall of Fame, BBC
Sport looks back at some of the best moments from his career.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment