Nyota wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika za 13 na 40 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Italia kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Hispania katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, lilifungwa na Alvaro Morata wa Chelsea dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAYER RATINGS: Phil Foden rewarded Pep Guardiola for granting him freedom
and Kyle Walker was relentless, but which Brighton star learnt brutal
lesson and earned 4/10?
-
PLAYER RATINGS: Mail Sport's Kieran Gill rates the players as Manchester
City cruised to a 4-0 win over Brighton as the reigning champions closed
the gap t...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment