Jermain Defoe akiteleza kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Bournemouth dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Solly March alianza kuwafungia Brighton dakika ya 55 kabla ya Andrew Surman kuwasawazishia wenyeji dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BVB-Handballerinnen reisen zum Topspiel nach Thüringen
-
Am Ostersonntag absolvieren Borussia Dortmunds Handballerinnen ihr letztes
Bundesliga-Spiel vor der nächsten Länderspielpause. Beim Thüringer HC kommt
es z...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment