• HABARI MPYA

    Sunday, September 03, 2017

    BUKRHAD PAPE ALIKUWA KOCHA RAFIKI WA WACHEZAJI TAIFA STARS

    Kocha Mjerumani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Burkhad Pape akiwa na wachezaji wa timu hiyo kutoka kulia Emmanuel Gabriel, Primus Kasonso, Juma Kaseja na kutoka kushoto, Mecky Mexime, Nteze John na Boniface Pawasa nyuma kwenye makazi ya Wamaasai eneo la Monduli mkoani Arusha walipokwenda kuwatembelea baada ya mechi za Kombe la CECAFA Castle mwaka 2000.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BUKRHAD PAPE ALIKUWA KOCHA RAFIKI WA WACHEZAJI TAIFA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top