Mshambuliaji Andre Ayew akiifungia West Ham bao la pili dakika ya 77 baada ya awali kumsetia Pedro Obiang kufunga bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa London. Ayew, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Mghana Abedi Pele alitokea benchi kwenye mchezo huo dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Javier Hernandez 64 'Chicharito' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Not since Diego Maradona have Argentina had a pantomime villain to match
wind-up merchant Emiliano Martinez... but his £16m move to Aston Villa is
one of Arsenal's daftest decisions this century
-
TOM COLLOMOSSE: The Aston Villa goalkeeper is the biggest wind-up merchant
in world football and is disliked in France in much the same way Maradona
was in...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment