Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 27, 31 na 81 Manchester City ikishinda 6-0 dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 37, Nicolas Otamendi dakika ya 63 na Raheem Sterling dakika ya 89 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment